Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /47
TEHRAN (IQNA) – Mitume wa Mwenyezi Mungu, walipokabiliana na makundi mbalimbali ya watu waliokuwa na mashaka juu ya utume wao, walifanya mambo ya ajabu sana yaitwayo miujiza.
Habari ID: 3477584 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la tano la semina kuhusu miujiza ya kimatibabu ya Qur'ani Tukufu ilianza katika Mji wa Gaza.
Habari ID: 3476710 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15
Sura za Qur’ani Tukufu /5
TEHRAN (IQNA) – Sura tofauti za Qur’an zinarejelea kuzaliwa, maisha, miujiza, na maadui wa Nabii Isa (Yesu)-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake Sura ya tano ya Qur’ani inaashiria miujiza ya nabii huyu wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3475328 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 23 la Ijaz (miujiza) katika Qur'ani Tukufu na Sunna ya Mtume SAW limefanyika wiki hii nchini Misri.
Habari ID: 3470923 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/08
IQNA-Duru ya tano ya mkutano wa kimataifa wa 'Upeo wa Miujiza ya Qur'ani Tukufu' umepengwa kufanyika mwezi Aprili nchini Misri.
Habari ID: 3470761 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26